HII HAPA DROO YA RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA
BOFYA HAPA KUDONWLOAD NIJUZEHABARI BLOG Youvil Town ambayo ni timu ya nafasi ya chini zaidi iliyosalia katika michuano hii itawakaribisha Manchester United. Tottenham watakutana na Newport County. Vinara wa Ligi Kuu ya England, Manchester City itakuwa ugenini kucheza na Cardiff City au Mansfield Town, huku Nottingham Forest iliyowatoa mabingwa watetezi Arsenal itakutana na Hull City. Raundi ya nne ya Kombe la FA itachezwa wiki ya Januari 26-29. Timu nyingine ni kama unavyoona hapa chini: Liverpool v West Brom Peterborough v Fleetwood/Leicester Huddersfield v Birmingham Notts County v Wolves/Swansea Yeovil v Manchester United Carlisle/Sheffield Wednesday v Stevenage/Reading Cardiff/Mansfield v Manchester City MK Dons v Coventry Millwall v Rochdale Southampton v Watford Middlesbrough v Brighton/Crystal Palace Bournemouth/Wigan v Shrewsbury/West Ham Hull v Nottingham Forest Newport County v Tottenham Norwich/Chelsea v Newcastle Sheffield United v...