INIESTA KUWAKOSA CHELSEA
Na Yego Sholla Taarifa kutoka SkySports zinasema Barcelona wamethibitisha kumkosa kiungo mshambuliaji INIESTA ni baada ya amepata jeraha katika mguu wake wa kulia katika kipindi cha kwanza baina ya Atletico Madrid na Barcelona waliibuka washindi wa 1-0 dhidi ya Atletico Madrid. Klabu ya barcelona itawaalika Chelsea katika dimba la la Barcelona march 14 mwezi huu mpambano wa kwanza pale nchini Uingereza ulimalizika kwa kutoshana nguvu ya 1-1 Kocha wa klabu hiyo ya Barcelona Ernesto Valverde ameiambia Tovuti ya klabu : " Bila Iniesta, tunapoteza mchezaji wa kipekee, pengo lake halizibiki." " Ni ngumu kutafuta mbadala wake, kwasababu hakuna kama yeye Duniani. Ngoja tuwe na tumaini kwamba jeraha lake sio kubwa."