HII HAPA DROO YA RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA

Youvil Town ambayo ni timu ya nafasi ya chini zaidi iliyosalia katika michuano hii itawakaribisha Manchester United.

Tottenham watakutana na Newport County. Vinara wa Ligi Kuu ya England, Manchester City itakuwa ugenini kucheza na Cardiff City au Mansfield Town, huku Nottingham Forest iliyowatoa mabingwa watetezi Arsenal itakutana na Hull City.

Raundi ya nne ya Kombe la FA itachezwa wiki ya Januari 26-29. Timu nyingine ni kama unavyoona hapa chini:

Liverpool v West Brom

Peterborough v Fleetwood/Leicester

Huddersfield v Birmingham

Notts County v Wolves/Swansea

Yeovil v Manchester United

Carlisle/Sheffield Wednesday v Stevenage/Reading

Cardiff/Mansfield v Manchester City

MK Dons v Coventry

Millwall v Rochdale

Southampton v Watford

Middlesbrough v Brighton/Crystal Palace

Bournemouth/Wigan v Shrewsbury/West Ham

Hull v Nottingham Forest

Newport County v Tottenham

Norwich/Chelsea v Newcastle

Sheffield United v Preston

Comments

Popular posts from this blog

Njia sahihi za kuachana na unywaji wa pombe