HERRY KANE BADO NIPO NIPO SANA TOTTENHAM MWAKA MMOJA


Na Yego Sholla

Taarifa kutoka The Sun zinasema Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs, Harry Kane, ameahidi kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo kwa zaidi ya msimu mmoja, licha ya kusalia kwake, uongozi wa Tottenham unapambana kumbakiza kikosini beki wake Toby Alderweireld pamoja na beki wa kushoto, Danny Rose, wanaowania na Manchester United.

Comments

Popular posts from this blog

Njia sahihi za kuachana na unywaji wa pombe