BRAZIL YAITUNGUA URUSI 3G BILA NEYMAR

Na Yego Sholla

Mwisho wa mechi ilikuwa rahisi sana kwa vijana wa Tite kumtungua mwenyeji wa fainali za kombe la Dunia , Urusi.

Magoli ya Miranda, Coutinho na Paulinho yametosha kuipa ushindi wa 3-0 Brazil dhidi ya Urusi.

Comments

Popular posts from this blog

Njia sahihi za kuachana na unywaji wa pombe